Funga dimba la Ligi Kuu ya Vodacom
Tanzania Bara itakuwa Mei 20, mwaka huu kwa timu zote kucheza ambako Azam FC
itakuwa mwenyeji wa Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam wakati
Majimaji itamaliza na Mbeya City kwenye Uwanja wa Majimaji mjini Songea wakati
Simba na Mwadui zitacheza Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Siku hiyo Mbao FC itaialika Young Africans ya Dar es Salaam kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza wakati Stand United itamaliza na Ruvu Shooting ya Pwani kwenye Uwanja Kambarage mjini Shinyanga ilihali Mtibwa Sugar itakuwa mwenyeji wa Toto Africans ya Mwanza kwenye Uwanja wa Manungu, Morogoro wakati Africans Lyon ikiwa mgeni wa Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya na Ndanda itamaliza na JKT Ruvu mjini Mtwara kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona.
Siku hiyo Mbao FC itaialika Young Africans ya Dar es Salaam kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza wakati Stand United itamaliza na Ruvu Shooting ya Pwani kwenye Uwanja Kambarage mjini Shinyanga ilihali Mtibwa Sugar itakuwa mwenyeji wa Toto Africans ya Mwanza kwenye Uwanja wa Manungu, Morogoro wakati Africans Lyon ikiwa mgeni wa Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya na Ndanda itamaliza na JKT Ruvu mjini Mtwara kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona.
0 comments:
Post a Comment