Friday, June 2, 2017

by alanus
june2 2017
ZOE1
Makipa wa Taifa Stars kutoka kushoto, Said Mohammed, Aishi Manula na Benno Kakolanya wakivuta pumzi baada ya mazoezi ya timu ya Tanzania ya Mpira wa Miguu ‘Taifa Stars’ yaliyofanyika jana usiku kwenye Uwanja wa Tolip Sports City jijini Alexandria jana usiku Mei 31, 2017. Taifa Stars inayodhaminiwa Bia ya Serengeti kutoka Kampuni ya Bia ya SBL, inajiandaa kushindana na Lesotho Juni 10, 2017 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuwania tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Mataiafa ya Afrika (AFCON) za mwaka 2019 zitakazofanyika Cameroon.
ZOE3
Makipa wa Taifa Stars kutoka kushoto, Aishi Manula na Benno Kakolanya wakivuta pumzi baada ya mazoezi ya timu ya Tanzania ya Mpira wa Miguu ‘Taifa Stars’ yaliyofanyika jana usiku kwenye Uwanja wa Tolip Sports City jijini Alexandria jana usiku Mei 31, 2017. Taifa Stars inayodhaminiwa Bia ya Serengeti kutoka Kampuni ya Bia ya SBL, inajiandaa kushindana na Lesotho Juni 10, 2017 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuwania tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Mataiafa ya Afrika (AFCON) za mwaka 2019 zitakazofanyika Cameroon.
ZOE4
Wachezaji Erasto Nyoni, Gadiel Michael na Simon Msuva wakijipanga katika mazoezi ya kumiliki na kutoa pasi katika mazoezi ya timu ya Tanzania ya Mpira wa Miguu ‘Taifa Stars’ yaliyofanyika Uwanja wa Tolip Sports City jijini Alexandria jana usiku Mei 31, 2017. Taifa Stars inayodhaminiwa Bia ya Serengeti kutoka Kampuni ya Bia ya SBL, inajiandaa kushindana na Lesotho Juni 10, 2017 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuwania tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Mataiafa ya Afrika (AFCON) za mwaka 2019 zitakazofanyika Cameroon.
ZOE6
Wachezaji wa Stars kutoka kushoto, Mohammed Hussein, Simon Msuva, Said Mohammed, Ibrahim Ajib na Hassan Kessy wakionyesha faraja yao mara baada mazoezi ya nguvu yaliyofanyika leo. Taifa Stars inayodhaminiwa Bia ya Serengeti kutoka Kampuni ya Bia ya SBL, inajiandaa kushindana na Lesotho Juni 10, 2017 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuwania tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Mataiafa ya Afrika (AFCON) za mwaka 2019 zitakazofanyika Cameroon.
ZOE7
Wachezaji wa Taifa Stars wakipasha joto miili yao kabla ya kuanza mazoezi ya nguvu kwenye Uwanja wa Tolip Sports City jijini Alexandria leo asubuhi Juni 01, 2017. Taifa Stars inayodhaminiwa Bia ya Serengeti kutoka Kampuni ya Bia ya SBL, inajiandaa kushindana na Lesotho Juni 10, 2017 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuwania tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Mataiafa ya Afrika (AFCON) za mwaka 2019 zitakazofanyika Cameroon.
ZOE9
Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Salum Mayanga (kushoto) na Meneja wa timu hiyo, Danny Msangi wakiwashuhudia wachezaji wa Stars wakipooza miili yao kwenye bwawa la kuogelea katika Hoteli ya Tolip Sports City, Alexandria nchini Misri leo asubuhi Juni mosi, mwaka huu. Taifa Stars inayodhaminiwa Bia ya Serengeti kutoka Kampuni ya Bia ya SBL, inajiandaa kushindana na Lesotho Juni 10, 2017 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuwania tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Mataiafa ya Afrika (AFCON) za mwaka 2019 zitakazofanyika Cameroon.
ZOE10
Wachezaji wa Taifa Stars wakipasha joto miili yao kabla ya kuanza mazoezi ya nguvu kwenye Uwanja wa Tolip Sports City jijini Alexandria leo asubuhi Juni 01, 2017. Taifa Stars inayodhaminiwa Bia ya Serengeti kutoka Kampuni ya Bia ya SBL, inajiandaa kushindana na Lesotho Juni 10, 2017 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuwania tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Mataiafa ya Afrika (AFCON) za mwaka 2019 zitakazofanyika Cameroon.
ZOE11
Daktari wa Viungo wa Taifa Stars, Dk. Gilbert Kigadye (kulia) akimchua kifundo cha mguu beki wa timu hiyo, Mohammed Hussein Zimbwe maarufu kama Tshabalala katika mazoezi ya timu ya Tanzania ya Mpira wa Miguu yaliyofanyika Uwanja wa Tolip Sports City jijini Alexandria leo Juni mosi, 2017. Taifa Stars inayodhaminiwa Bia ya Serengeti kutoka Kampuni ya Bia ya SBL, inajiandaa kushindana na Lesotho Juni 10, 2017 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuwania tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Mataiafa ya Afrika (AFCON) za mwaka 2019 zitakazofanyika Cameroon.
ZOE12
Wachezaji wa Stars wakiwania mpira katika mazoezi ya nguvu yaliyofanyika leo. Taifa Stars inayodhaminiwa Bia ya Serengeti kutoka Kampuni ya Bia ya SBL, inajiandaa kushindana na Lesotho Juni 10, 2017 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuwania tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Mataiafa ya Afrika (AFCON) za mwaka 2019 zitakazofanyika Cameroon.
ZOE14
Wachezaji wa Taifa Stars wakipiga jaramba kuendeleza na mazoezi ya nguvu kwenye Uwanja wa Tolip Sports City jijini Alexandria leo asubuhi Juni 01, 2017. Taifa Stars inayodhaminiwa Bia ya Serengeti kutoka Kampuni ya Bia ya SBL, inajiandaa kushindana na Lesotho Juni 10, 2017 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuwania tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Mataiafa ya Afrika (AFCON) za mwaka 2019 zitakazofanyika Cameroon.
ZOE16
Wachezaji wa Taifa Stars wakipiga jaramba kuendeleza na mazoezi ya nguvu kwenye Uwanja wa Tolip Sports City jijini Alexandria leo asubuhi Juni 01, 2017. Taifa Stars inayodhaminiwa Bia ya Serengeti kutoka Kampuni ya Bia ya SBL, inajiandaa kushindana na Lesotho Juni 10, 2017 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuwania tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Mataiafa ya Afrika (AFCON) za mwaka 2019 zitakazofanyika Cameroon.
ZOE17 ZOE18

0 comments:

Post a Comment