Ronaldo De Assis Moreira “Gaucho” alizaliwa mwaka 1980 katika mji wa Porto Alegre mjini Brazil ambako tangu akiwa na miaka 7 tayari alianza kuwa gumzo katika mtaa wao kutokana na uwezo wake.
Kama ilivyo kwa wanasoka wengine wa Kibrazil, Ronaldinho Gaucho naye alianza soka lake kwa kucheza samba mtaani kwao Brazil baadaye akaonekana na kupelekwa katika klabu ya Gremio alikoanza kuvaa viatu.
Barcelona ndipo ambapo Ronaldinho alishinda karibia kila kitu, alibeba makombe mawili ya ligi, akaja akabeba Ballon D’or mwaka 2006 lakini vile vile akabeba kombe la Champions League mwaka 2006.
0 comments:
Post a Comment