MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Misri, Mohamed Salah' usiku wa Alhamisi amebeba tuzo tatu kutokana na mafaniko yake mwaka huu.
Mkali
huyo wa mabao alisafiri kwa ndege maalum ya kukodi kwenda kupokwa tuzo
ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo
(FWA).
Mfungaji
huyo wa mabao 43 alikabidhiwa tuzo hiyo akitoka kupokea tuzo nyingine
mbili usiku huo, ambazo ni Mchezaji Bora chaguo la Wachezaji na Mchezaji Bora wa Mwaka wa Liverpool.
Mohamed Salah akiwa ameshika tuzo ya Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo

0 comments:
Post a Comment