Zikiwa zimesalia siku 12 kuelekea fainali za kombe la dunia ndani ya Ardhi ya Putin nchini Urusi ,timu ya taifa ya Brazil imekuwa ya moto sana .
Mchezo wa Leo dhidi ya timu ya taifa ya Croatia unakuwa mchezo wa 20 kwa mwalimu Titte na tayari katika michezo 20 Brazil wameshinda jumla ya michezo kumi na sita (16), Goli la leo na Neymar likikuwa goli la 43 na Firmino akafunga goli la pili ambalo limekuwa goli la arobaini na nne (44) kwenye michezo 20 ni uwiano wa goli mbili (2) kwa kila mchezo ,wameruhusu kufungwa magoli 5 huku wakicheza michezo 15 bila kuruhusu nyavu zao kuguswa .
Brazil ndio taifa lenye rekodi nzuri kwenye mashindano haya makubwa ya mpira wa miguu kwa ngazi ya tumu za taifa duniani kwani katika mara 25 ambazo kombe la dunia limechezwa Brazil imekosa mara 5 tu huku ikiwa imeshinda mataji matano ya kombe la Dunia.
Kikosi cha Brazil kina nyota kama Neymar (Psg), Ederson (City),Willian (Chelsea), G.Jesus (City),T.Silva (Psg),Casemiro( Madrid) ,Marcelo (Madrid ) ,Countinho (Barcelona ),Firmino (Liverpool ),Ferndandinho (city) na wengine wengi.
Timu ya Taifa ya Brazil imepangwa kwenye kundi pamoja ya mataifa ya Uswizi ,Croatia na Serbia . Je Brazil watarudisha Samba Nchini Urusi.?
Zikiwa zimesalia siku 12 kuelekea fainali za kombe la dunia ndani ya Ardhi ya Putin nchini Urusi ,timu ya taifa ya Brazil imekuwa ya moto sana .
Mchezo wa Leo dhidi ya timu ya taifa ya Croatia unakuwa mchezo wa 20 kwa mwalimu Titte na tayari katika michezo 20 Brazil wameshinda jumla ya michezo kumi na sita (16), Goli la leo na Neymar likikuwa goli la 43 na Firmino akafunga goli la pili ambalo limekuwa goli la arobaini na nne (44) kwenye michezo 20 ni uwiano wa goli mbili (2) kwa kila mchezo ,wameruhusu kufungwa magoli 5 huku wakicheza michezo 15 bila kuruhusu nyavu zao kuguswa .
Mchezo wa Leo dhidi ya timu ya taifa ya Croatia unakuwa mchezo wa 20 kwa mwalimu Titte na tayari katika michezo 20 Brazil wameshinda jumla ya michezo kumi na sita (16), Goli la leo na Neymar likikuwa goli la 43 na Firmino akafunga goli la pili ambalo limekuwa goli la arobaini na nne (44) kwenye michezo 20 ni uwiano wa goli mbili (2) kwa kila mchezo ,wameruhusu kufungwa magoli 5 huku wakicheza michezo 15 bila kuruhusu nyavu zao kuguswa .
Timu ya Taifa ya Brazil imepangwa kwenye kundi pamoja ya mataifa ya Uswizi ,Croatia na Serbia . Je Brazil watarudisha Samba Nchini Urusi.?
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.