Mwaka mmoja uliopita Juan Mata8
Alianziasha mradi wa kusaidia wa CommonGoalOrg, na kuahidi 1% na kuomba wadau kumsapoti. Pichani ni wale waliokubali.
Klabu ya Arsenal inajiandaa kutoa £25 million ($32m) kwa beki wa Croatia Domagoj Vida, ili kumnasa mlinzi huyo aloyeamba katika michuano ya kombe la duniam
Marko Pjaca amejiunga na Fiorentina kutoka Juventus: huku kukiwa na kipengelea cha kumnunua moja kwa moja.
Klabu ya Everton imenasa saini ya goalkeeper Joao Virginia kutoka katika klabu ya Arsenal nyota huyo amesaini kandarasi ya Miaka mitatu.
Taarifa zinasema pia King Kiba Ali Swalehe kiba ameanza Mazoezi katika klabu yake ya Coastal Union.Mwanamuziki na Mchezaji mpya wa Coastal Union, Ali Kiba akiwa wenzake katika mzaoezi ya timu hiyo kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara.
Burnley imekubali kulipa £13m kama ada ya uhamisho kutoka kwa Middlesbrough ili kumnasa Ben Gibson.
0 comments:
Post a Comment