Sisoko mchezaji wa timu ya Taifa ya Ufaransa amewasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) majira ya saa 3:15 na ndege ya Shirika la ndege la Pression Air akitokea Nairobi nchini Kenya.
Akiwa katika uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA) Sisoko alionekana mkononi akiwa ameshikilia box dogo la rangi ya blue likiwa na nembo ya timu ya Chelsea.
Kiungo huyo tegemezi wa Spurs anataraji kutemebelea vivutio vya Utalii ikiwemo Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
0 comments:
Post a Comment