Friday, September 11, 2020


Wachezaji wa Racing Club de Lens wakipongezana baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya mabingwa watetezi, Paris Saint-Germain kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa bao pekee la mshambuliaji Mcameroon, Ignatius Kpene Ganago dakika ya 57 Uwanja wa Bollaert-Delelis Jijini Lens. PSG iliyokuwa inacheza mechi yake ya kwanza ya msimu mpya, iliwakosa nyota wake wote, Neymar, Kylian Mbappe na Angel Di Maria

 

0 comments:

Post a Comment