Ronaldo anatuhumia kumbaka mwanadada mmoja nchini Marekani anayejulikana kwa jina la Kathryn Mayorga mwenye umri wa miaka 34 ambapo inadaiwa tukio hili lilitokea mwaka 2009 nchini Marekani na Ronaldo inasmekana alimlipa millioni 794, Ingawa mchezahi huyo alizikanusha taarifa hizo
Ronaldo ataukosa mchezo wao dhidi ya Poland katika michuano ya UEFA Nation League ambao utafanyika mwezi Octoba tarehe 11 huku siku tatu baadaye wakicheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Scotland.
0 comments:
Post a Comment