Tuesday, August 18, 2020



AGOSTI 22, Klabu ya Simba inatarajiwa kucheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Klabu Vital'O  FC ya kutoka nchini Burundi.

Mchezo hui utapigwa Uwanja wa Mkapa, majira ya saa 11:00 jioni.

Siku hiyo ni rasmi kwa ajili ya kuwatambulisha wachezaji wapya na wale wa zamani ambao ni mali ya Simba ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara.

Miongoni mwa wachezaji wapya ni pamoja na Bernard Morriosn, Larry Bwarya, Charlse Ilanfya huku wale wa zamani ikiwa ni pamoja Ibrahim Ajibu, Said Ndemla, Meddie Kagere, John Bocco.

 

18 Aug 2020

0 comments:

Post a Comment

:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.